Inawezekana. Powered by Blogger.

Nyumbu Ndani ya Maonyesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma

Maonyesho ya wiki ya utumishi wa umma yalifanyika kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam kuanzia tarehe 16/06/2011 hadi tarehe 23/06/2011.

Moja kati ya vivutio vingi vilivyokuwepo kwenye maonyesho hayo, yalikuwa ni magari ya Nyumbu yanayotengenezwa hapa nchini na taasisi ya Tanzania Automotive Technology Centre, iliyoko Kibaha, Pwani. Taasisi hii inamilikiwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa.

  
Lori la Nyumbu

Licha ta magari, TACT pia hutengeneza mashine mbalimbali kama mashine za kutengeneza matofali, pump za maji na trailers.









Vipuri vya mitambo

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP