Inawezekana. Powered by Blogger.

Kula Mboga za Asili kwa Afya Yako

Shirika lisilo la kiserikali la RESEWO limeanzisha bustani ya maonyesho ya mboga za asili ya Tanzania. Bustani hii iko ndani ya Kijiji cha Makumbusho, Dar es Salaam.


Mboga za asili zina faida nyingi kiafya, na hata huweza kutumika kama tiba mbadala kwa magonjwa mbalimbali.

Kishona nguo

 Kishona nguo huweza kutumiwa kama mboga, kama juisi na pia kama kiungo cha chai. Inaongeza damu mwilini, inaondoa uchovu na husaidia kuzuia magonjwa mbalimbali.

Mchicha maua
Delega

Juisi ya Kishona guo
... unaweza hata ukaotesha mboga ndani ya ndoo

Afisa Utawala na Masoko wa Resewo, Bi. Stella Muro akiwa ofisini

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP