Inawezekana. Powered by Blogger.

Kwaheri Umasikini, Karibu Tujikomboe. Ndilo neno lililotumika kwenye semina iliyoandaliwa na DIMOND

Mwelimishaji akiwafundisha wajasiriamali walio hudhuria semina iliyo andaliawa na DIMOD iliyofanyika kwenye Chuo Cha Ustawi wa Jamii Jiji Dar Es Salaam.


Wajasiriamali wakifuatilia kwa karibu jinsi ya kujitoa kwenye umasikini na kujiweka kwenye nafasi ya kujikomboa kutoka kwenye umasikini.

Ukumbi ulikuwa umejaa kwenye semina ya ujasiriamali. Semina hiyo inayo endeshwa na DIMOD Intergrated Solutions and Awareness kwa muda wa siku tatu kuanzia siku ya Jumatano tar 17/Aug/11 mpaka tar 19/10/11

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP