Inawezekana. Powered by Blogger.

Rais Mstaafu wa Msumbiji Mh J. Chisano alipotembelea mashamba

 Rais Mstaafu Joachim Chisano akikaribishwa kwenye kijiji cha Kikaro kata ya Miono wilaya ya Bagamoyo hivi karibu kuangalia kilimo cha miti ya Mlonge.

 Hapa Rais Mstaafu akiwa anakagua shamba la miti hiyo.
Akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wadau wa kilimo cha miti ya milonge na wazalishaji wa bidhaa za Mlonge. Mlonge ni mti ambao majani yake unaweza kutumia kama mboga na dawa pia mbegu zake kwa ajili ya mafuta yakula na pia kama dawa. Mizizi yake hutumika kama dawa. Ni miti yenye faida nyingi sana na unatibu magonjwa mengi.

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP