Inawezekana. Powered by Blogger.

Kilimo cha Umwagiliaji


Bw Michael akiwa shambani mwake ambako anafanya kilimo cha umwagiliaji. Inawezekana kwa vijana wakarudi na kufanya shughuli za kilimo na kufanikiwa zaidi kuliko kufanya biashara za uchuuzi mjini na huku wakiwafaidisha zaidi wale wenye maduka. Huku wao wakiwa wamezunguka kwenye jua sana. Maoni yako mdau Bw Peter na Dr Lusingu

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP