Inawezekana. Powered by Blogger.

Mruma Secondary School (Mruma Girls)

 Kamera yetu ilifanikiwa kufika katika hii shule na kuwajulia hali baada ya kuondoka eneo hilo miaka mingi sana iliyopita. Haya kwa wale mliosoma hapo miaka mingi iliyopita. Rose K kipindi hicho ukiwa unatumia jina hilo. Upo lete maoni yako.



 Enzi hizo sehemu hii mlikuwa mnaita vipi?

 Hall letu hilo sasa je kipindi hicho ilikuwa nini?
 Computer Room mambo yanaendelea secondary zote ziwe na vyumba kama hivi jamani karne ya 24 bado. Tusaidie shule zile ambazo tulizosoma. Wadau mnasemaje?
 Kitambulisho cha shule
Haya vijana wa sasa mliacha nembo zenu je mnakumbuka? Angalia kama yakwako bado ipo.

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP