Inawezekana. Powered by Blogger.

Mazishi ya Mchina

 Hii ni picha ya Mchina mmoja aliyefariki Jijini Dar hivi karibuni na misa yake kufanyika maeneo ya kurasini karibu na ofisi za uhamiaji makao makuu.

 Barabara ya kuelekea uhamiaji ilikuwa imefungwa wakati wa misa hiyo ambayo waliifanya katikati ya barabara.


Umati wa watu wajamii ya wachina wakiwa katika misa hiyo maeneo ya kurasini

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP