Inawezekana. Powered by Blogger.

Daraja la Karanga Tangu Mwaka 1939

Daraja la Karanga, Zamani lilikuwa ndiyo linaunganisha kati ya Moshi na Arusha. Ilikuwa barabara kuu, limejengwa na Waitaliano mwaka 1939 - 1945. Angalia daraja lilivyo imara kwa miaka yote hiyo. Wenye maelezo zaidi tunaomba tuletee.

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP