Inawezekana. Powered by Blogger.

Njaa inatoka wapi?

Watu wakiosha karoti zao kwenye mto Karanga. Unawezakuona jinsi Tanzania tulivyobarikiwa na vitu vingi lakini bado nchi ni masikini sana. Hapo hapo ukiwa mjini Dar na maeneo mengine unaweza kuona magari ya kifahari sana na majumba ya kifahari sana na hapa huwa najiuliza umasikini wetu uko wapi sasa? wadau wengine unafikiri vipi?


Nyumba za wafanyakazi wa TPC Moshi, tangu enzi ya Mwl Nyerere lakini mpaka leo zinaonekana vizuri. Ukina nyumba zilizojengwa sasa na sirikali ya hivi karibuni zimechakaa kuliko za zamani je tunakwenda mbele au tunarudi nyuma?

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP