Inawezekana. Powered by Blogger.

Wajanja Mjini

Sikuhizi umezuka mtindo watu wanakufungia gari unaambiwa umeegesha (park) mahali sipo lakini hiyo sehemu uliyo egesha gari lako (parking) haina maelezo yoyote kuhusu hairuhusiwe. Hawa jamaa wameungana na watu wa halmashuri ya Ilala na kuwachukulia hela zao. Usikubali kulipa sehemu isiyokuwa na maelekezo kuhusu hiyo sehemu. Kisheria kunatakiwa kuwe na kibao cha kutoa maelekezo.

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP