Inawezekana. Powered by Blogger.

Bongo imebaki sheria moja tu HAKUNA SHERIA

 Huyu mwenye gari yeye baada ya kuona kuna foleni kubwa akaamua kupita upande asio ruhusiwa. Lakini hii imekuwa kwa hapa Dar ni kama kitu cha kawaida maana inafanyika hata mbele ya Polisi wa usalama barabarani.

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP