Kwanini vyakula kama hivi sio maarufu sana?
Hapa ni viazi vya kuponda, kuku na mchicha, vipande vya chungwa na karoti kwa pembeni.
Nathani wengi mnaelewa huu mchanganyiko!
Read more...
Shirika lisilo la kiserikali la RESEWO limeanzisha bustani ya maonyesho ya mboga za asili ya Tanzania. Bustani hii iko ndani ya Kijiji cha Makumbusho, Dar es Salaam.
Kishona nguo |
Juisi ya Kishona guo |
... unaweza hata ukaotesha mboga ndani ya ndoo |
Afisa Utawala na Masoko wa Resewo, Bi. Stella Muro akiwa ofisini |
© Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009
Back to TOP