Inawezekana. Powered by Blogger.

Jiko Linalotumia Oil chafu na maji kuwashia.

 Jiko hili linatumia Oil chafu ambayo kwa hapa dar au Tanzania kwa ujumla ni rahisi kuipata kwahiyo litasaidia sana kwa watu wale wenye kipato cha chini na kulinda mazingira. Kama kuna yeyote mwenye. Ni faraja kwa watu wanaopenda kutunza mazingira kwani badala ya kutafuta wapi tutamwaga hiyo oil chafu unaitumia tena badala ya mkaa na kuni. Hongera sana mgunduzi wa jiko hili.

Post a Comment

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP