Inawezekana. Powered by Blogger.


We are an importer/exporter company based in the United Kingdom with global dealings.Cars & Trucks,Parcels,ContainersHospital Equipment
Personal Effects Domestic Goods  and Packaging of dedicated Goods.
Plants & Machinery.
We Collect goods and equipment throughout the UK but for Europe we can facilitate.
CONTAINERS PRICE  


       20 ’ To Dar Es Salaam    £1,450
40’ To Dar & Mombasa     £2,150

     Saloon to Dar/Mombasa  730
4X4 to Dar/Mombasa  800
Trucks from $81.50 per cubic metre
(Length X Width X Height ) Metre

We specialise in Forwarding  to East Africa,West Africa ,Middle East and USA and ESAC Ltd provide clearing goods if require to Tanzania.
--
 NOTE:WHEN U INTRODUCE A FRIEND YOU GET A DISCOUNT. 
Regards,
 
Operations Manager: Mndima Fue
Eastern & Southern Africa Cargo Limited (ESAC)
(Exporters & Importers )
Tel No:             +44 783 369 2695      ,             +44 0148 221 4949       (North England - HQ)
Tel No:             + 44 118 954 5890      ,             +44 79000 43224       (South England office)
  132 Victor Street, HULL, HU9 2EY- East Yorkshire
REG NO:07609023. VAT NO:113 999 585

Read more...

Kipa Imara hapo maeneo ya kawe




Watoto wakiwa kwenye sherehe ya kipa imara iliyofanyika mwisho wa wiki hapo Kawe

Read more...

Jiko Linalotumia Oil chafu na maji kuwashia.

 Jiko hili linatumia Oil chafu ambayo kwa hapa dar au Tanzania kwa ujumla ni rahisi kuipata kwahiyo litasaidia sana kwa watu wale wenye kipato cha chini na kulinda mazingira. Kama kuna yeyote mwenye. Ni faraja kwa watu wanaopenda kutunza mazingira kwani badala ya kutafuta wapi tutamwaga hiyo oil chafu unaitumia tena badala ya mkaa na kuni. Hongera sana mgunduzi wa jiko hili.

Read more...

Wanaopenda kuandika kuhusu Tanganyika

TANZANIA 1961-2011
 

MIAKA HAMSINI YA UHURU
Je maendeleo yetu yanaendana na umri huo?
Je wataka kuchangia mawazo yako kwenye kitabu hiki?  Chagua mada (Topic).
Wasiliana na Mwl. Singo, K. A. 07856010901
1.     Historia fupi ya Tanzania (X)
2.     Mafanikio ya J. K. Nyerere (X)
3.     Kwa nini Nyerere Alishindwa (X)
4.     Kifo cha Ujamaa na kujitegemea
5.     Ujio wa vyama vingi
6.     Uchumi na maendeleo tatizo liko wapi?
7.     Elimu na maendeleo (X)
8.     Sababu za umasikini
9.     Afya na Maendeleo
10. Demokrasia na maendeleo
11.  Uongozi na maendeleo
12. Ufisadi na maendeleo
13. Haki na maendeleo
14. Maendeleo ya mbeleni ya Tanzania
Andika mada yenye maana ukitumia lugha nzuri (A4) kurasa zisizozidi 8 kwa topic. Kama huwezi Kiswahili andika kwa kingereza.  Kama huwezi kuchapa andika kwa mkono nipigie au tuma C/O 17 Bede Walk Reading RG2 7UE
Mwisho wa kuwasilisha 30/11/11
Topic yenye (X) – Imechukuliwa. Tafadhali nijulishe chaguo lako.

Read more...

Mtambo mpya wa umeme


Read more...


Read more...

Jiko lenye oven la mkaa, Bongo mambo juu

 Mtaalamu akionyesha jinsi jiko la mkaa lenye oven linavyotumia mkaa kidogo na kuwezesha kutengeneza vitu mbalimbali kama kuoka mikate na kadhalika

Read more...

Wabongo nao hawako nyuma

 Gari nayo inatengenezwa bongo. Bongo mambo ya Green Mhhhhh

Read more...





Read more...

Chuo cha St John kwenye maonyesho mnazi mmoja Dar


Kwenye maonyesho ya sayansi ya techohama ndiyo hivyo chuo cha St John wao wanatumia vitu vya asili au kwa maana nyingine mali ghafi ya humu humu nchini kufundishia. Inawezekana bila vitu vya kutoka nje.

Read more...

Gari La Gesi Bongo

Gari hili lina uwezo wa kwenda kilometer 180 hii mitungi ikiwa imejaa. Watanzania huyu ndiyo atakuwa mkombozi wetu na hizi bei za mafuta zinavyopanda kila siku.

Read more...

Ufugaji huu mpaka lini?


Mama huyu aliyekutwa na mpiga picha wetu hivi karibuni huko Meru mkoani Arusha.

Read more...

Makao Makuu ya Nchi Lini tutahamia?




Sehemu moja wapo muhimu mkoani Dodoma lakini ndiyo hivyo hatujui kuthamini vitu vya kwetu.

Read more...

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP